Quantcast
Channel: Lukwangule Entertainment
Browsing all 9297 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

kamandi ya anga JWTZ yaanza mazoezi

Kamandi ya Jeshi la Anga limeanza mazoezi ya pamoja na mataifa mengine ili kuwaongezea Maafisa na Askari wake weledi katika utendaji wao.Hayo yalielezwa leo na Mkuu wa Kamandi ya nchi Kavu, Meja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ELIMU DUNI NA ISIYO SAHIHI YA MATUMIZI YA KONDOMU INACHANGIA MAAMBUKIZI MAPYA...

Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akizungumza na washauri wa Vikundi vya Vijana wasikilizaji juu ya masuala muhimu kuhusiana na kuzuia maambukizi ya VVU na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"PASUA TWENDE" YA SKYLIGHT NOOMAAAA

Na hii ndio Video ya Skylight Band ya Wimbo mpya "PASUA TWENDE"Mary Lucos akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) huku akipewa sapoti na Hashim Donode sambamba na Digna Mbepera...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali ya shirika la ndege la Algeria yaua wote 116

RAIS François Hollande wa Ufaransa amethibitisha kwamba hakuna mtu aliyepona katika ajali ya ndege ya shirika la ndege la Algeria yenye mruko namba AH5017.Ndege hiyo iliyokuwa na abiria 116 ikitokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge la Katiba mbele kwa mbele bila Ukawa

Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahaya Khamis  akizungumza na waandishi wa habari leo (hawapo pichani ) kuhusu  kuendelea kwa  Bunge Maalum la Katiba kwa niaba yaMwenyekiti  wa Bunge hilo, Samuel...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOSPITALI YA IMTU YAFUNGIWA KWA KUKOSA VIWANGO

Hospitali ya Chuo cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) inayomilikiwa Chuo cha Udaktari kinachohusishwa na utupaji wa viungo vya binadamu mithili ya takataka, imefungiwa kwa muda usiojulikana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIPINDI CHA “MIMI NA TANZANIA” CHAVUKA MIPAKA YA TANZANIA, SAFARI NI NDANI YA...

Pichani ni Mtangazaji anayeongoza Kipindi cha 'Mimi na Tanzania' Hoyce Temu aliyewahi kushika taji Miss Tanzania mwaka 1999 akiwa nje ya Ubalozi wetu wa Tanzania nchini Marekani mara baada ya kuwasili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUKO WA PESHENI KWA WATUMISHI WA UMMA 'PSPF' WATOA SEMINA KWA WASANII WA...

Mkurugenzi wa mfuko wa pesheni kwa watumishi wa umma'PSPF' Adam Mayingu kushoto akisalimiana na msanii Rose Ndauka wakati wa semina iliyoandaliwa na mfuko huo kwa ajili ya kutoa elimu na kujiunga...

View Article


Ratiba ya mabondia timu ya taifa Madola

Patron CP Suleiman KovaPresident:   -Mutta  Robert LwakataleVice president:  Lukelo A. WilliloSecretary General:  Makore .R.MashagaTresurer: Maj.KapandantavaMob: +255 774 555 800          +255 713 588...

View Article


POLISI WAZUNGUMZIA SIKUKUU ZA EID EL FITR

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI                                   JESHI LA POLISI TANZANIAAnuani ya simu “mkuupolisi”...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bahati Bukuku ajeruhiwa kwenye ajali leo alfajiri

Msanii wa Injili Bahati Bukuku (40) ni miongoni mwa majeruhi watatu wa ajali ya gari iliyotokea iliyotokea leo katika barabara ya Morogoro – Dodoma eneo la ranchi ya Narco Wilaya ya Kongwa .Majeruhi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FUTARI ILIYOANDALIWA NA MAKAMU WA RAIS

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sawa  kanzu ya Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda kabla ya kushiriki katika  futari waliyoandaliwa na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali katika makazi yake Oysterbay...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIGULU NCHEMBA ANGURUMA MWANZA

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba  akihutubia wakazi wa Mwanza katika viwanja vya Furahisha amesisitiza nidhamu ya fedha na bajeti ili kufanikisha maendeleo.Aidha ametaka wananchi kupima nia za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamasha la Cigogo 2014 liko poa sana

Tamasha la saba la Muziki wa Cigogo 2014, lililoanza jana  Julai 25, kwenye kijiji cha Chamwino Ikulu, Mkoani hapa linarindima kwa kishindo.Tamasha hilo ambalo jana lilizinduliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATUNUKU WAHITIMU WA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI KATIKA MAHAFALI YA...

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Kanali James Ruzibiza Stashahada ya Usalama na Stratejia (Diploma in Security and Strategic Studies) katika mahafali ya Kozi ya Pili ya Chuo Cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amtoroka mume kwa kumshinikiza kuua mtoto wao kulinda ndoa

Joyce Mwakipesile (27) ametoroka Mume wake kumnusuru mtoto wake God Wambura miezi 3 aliyezaliwa na mdomo wa sungura asiuwawe na mume huyo.Mwanamke huyo amesema hayo wakati akiongea na Mtandandao wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IZO BUSINESS NA BEN PAUL WAPAMBA UZINDUZI WA KAMPENI YA SHUGA REDIO MKOANI...

Afisa Mipango VVU/UKIMWI kutoka UNICEF, Bi. Alice Ijumba akitoka kukagua jukwaa lenye hadhi ya kimataifa la Ebony FM kwenye uzinduzi wa kampeni ya SHUGA Redio uliofanyika jana kwenye viunga vya Samora...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJANGILI WAUA TEMBO WAWILI HIFADHI YA UDZUNGWA

 Kamanda wa Polisi  Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo , akionesha jino la tembo kati ya manne, kwa waandishi wa habari ( hawapo pichani) leo  baada ya majangili kuawaua tembo wawili ndani ya Hifadhi ya...

View Article

Waziri Mkuu ashiriki uzinduzi wa dayosisi mpya ya KKKT atoa onyo

Waziri mkuu aasa wananchi wasikubali kugeuzwa mtaji na wagombeaWAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaonya Watanzania kuwa makini na watu wanaotumia rushwa ili kupata nafasi za uongozi na hasa kwenye uchaguzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MHE MIZENGO PINDA AANDAA FUTARI NYUMBANI KWAKE DAR ES SALAAM

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Alhad Mussa Salum alipowasili kwenye makaazi ya Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda (nyuma yao) Oysterbay jijini Dar es salaam...

View Article
Browsing all 9297 articles
Browse latest View live
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>