Quantcast
Channel: Lukwangule Entertainment
Browsing all 9104 articles
Browse latest View live

WAZIRI MKUU AHIMIZA HAKI NA USAWA MAGEREZA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka maaafisa na makamanda wa Jeshi la Magereza nchini waendelee kusimamia haki na usawa wanapotimiza wajibu wao.Ametoa wito huo jana jioni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI MANISPAA YA UBUNGO KUJENGA MADARASA MATANO MAPYA SHULE YA MSINGI...

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akizungumza jambo mara baada ya kuzuru kwa ziara ya kikazi katika Shule ya Msingi Hondogo iliyopo Kata ya KibambaMkurugenzi wa Manispaa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC KASESELA ATISHIA KUFUNGA MGODI WA NYAKAVANGALA

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Richard Kasesela akizungumza na blog hii juu ya kitu kinachiendelea kwenye mgodi wa nyakavangala.Na Fredy Mgunda, IringaWachimbaji wa madini katika mgodi wa nyakavangala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA WAKUU WA MIKOA WOTE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo amekutana na wakuu wa mikoa wote katika kikao kilichohudhuriwa pia na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Genevieve Nnaji: Mwenye mafanikio na msiri wa maisha yake

HUYU ni mdada ambaye  amekuwa akionekana katika filamu nyingi zilizoenda shule za Nollywood. Pamoja na kuwa maarufu katika sinema amepata mafanikio makubwa katika shughuli zake huku akiwa na mamilioni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMBUA JINSI YA KUJIUNGA NA KUWA MWANACHAMA WA COPYRIGHT SOCIETY TANZANIA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyakazi wa Hospitali ya Sanitas wajitolea damu

Wafanyakazi wa Hospitali ya Sanitas wajitolea damuKuelekea siku ya kuchangia damu duniani, Hospitali ya Sanitas iliyopo Mikocheni imeandaa kambi ya kuchangia damu ambayo ilifanyika siku ya jumanne,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAFADHALI TUAMBIE UKO WAPI ...NIKOHUB TUNAFUTURISHA WATU 100 KILA SIKU...

Mambo yanazidi kuwa mazuri kwa wanaoenda na wakati kadri siku zinavyo zidi kwenda kufuatia ukuaji wa kitekenolojia siku  hadi siku, hali hii inazidi kuleta manufaa na msukumo mkubwa wa kimaendeleo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKONDA APOKEA MAGARI MABOVU YA POLISI KUYABADILI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul C. Makonda akizungumza katika hafla ya kukabidhiwa magari mabovu kwa ajili ya Matengenezo. Leo June 14, 2017 Oysterbay Jijini Dar es salaamMkuu wa Mkoa wa Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU ATAKA MAAFISA MIFUGO WABADILIKE

           WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka maaafisa mifugo wote wa wilaya na mikoa wabadilike ili sekta hiyo iweze kuongeza mchango wake kwenye pato la Taifa.“Katika ziara zangu za mikoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto wa miaka sita, darasa la kwanza azindua kitabu

Mtoto Ethan Thedore Yona akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa kitabu chake kwa njia ya mtandao(App) kijulikanacho kama Ethan Man, hafla hiyo imefanyika leo kwenye maadhimisho ya siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni ya Tigo Yaadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika kwa kushirikiana na wadau

Meneja mauzo na masoko wa taasisi ya Shule Direct Shaweji Steven (kushoto) akimuonesha Meneja Mawasiliano ya Umma kutoka kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Woinde Shisael (kulia) kifaa cha kusoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamko la THBUB wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika Juni 16, 2017

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) inaungana na wadau wote wa haki za watoto duniani katika kuadhimisha “Siku ya mtoto wa Afrika”.Siku hii inaikumbusha dunia juu ya mauaji ya watoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanawake UWT watakiwa kuwania uongozi CCM na jumuiya zake

Kaimu  Naibu  Mkuu wa UWT Zanzibar, Bi. Tunu Juma Kondo akizungumza na viongozi wa Matawi ya Jimbo Kijini Wilaya ya Kaskazini “A” kichama Unguja.UMOJA wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi  Tanzania (UWT)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS SAMIA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA DAR

 Watoto wakikimbia walipokuwa wakiandamana kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kinyerezi, ambapo yalifanyika kimkoa wilayani Ilala, Dar es Salaam leo.Maadhimisho hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNESCO YAZUNGUMZIA KUZAGAA KWA JANGWA SIKU YA JANGWA

Nchi yetu. Nyumba zetu. Mustakabali wetu.Hii lazima iwe kauli mbiu yetu leo - hasa katika mapambano dhidi ya kuenea kwa jangwa.Mchango wa mabadiliko ya mazingira katika uhamiaji na makazi ya watu uko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NEXT EINSTEIN" YAZINDUA WIKI YA SAYANSI AFRIKA TANZANIA

Mtaalamu wa masomo ya Sayansi, Fadhil Leonard akiwaelekeza wanafunzi wa Shule ya Msingi namna ya kutengeneza gari linalojiendesha bila ya kuwa na dereva wakati wa hafla ya uzinduzi wa Wiki ya Sayansi...

View Article


TAIFA LA WATU WAADILIFU HUANZIA KWENYE FAMILIA - WAZIRI MKUU

TAIFA LA WATU WAADILIFU HUANZIA KWENYE FAMILIA - WAZIRI MKUU WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema wazazi wana jukumu la kulea watoto kwenye misingi ya kumcha Mungu ili Taifa liweze kuwa na watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CBA TANZANIA YAWAANDALIA IFTAR WATEJA WAKE JIJINI DAR ES SALAAM

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Afrika Tawi la Tanzania (CBA Tanzania), Gift Shoko akizungumza na baadhi ya wateja wakubwa wa benki hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, wakati benki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TGGA YAENDESHA KAMBI YA MAFUNZO YA MTOTO WA KIKE KUJIAMINI, KUJITAMBUA NA...

 Washiriki wa Kambi ya Mafunzo ya kuwajengea uwezo wanawake wakiimba wimbo wa Taifa baada ya kujifunza jinsi  ya kufunga kamba vifundo na kupandisha bendera ya Taifa katika kambi ya siku tano...

View Article
Browsing all 9104 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>