Quantcast
Channel: Lukwangule Entertainment
Browsing all 9045 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

mcheza sarakasi Mohamed Idi Mturuma afariki akiwa Hispania

Umoja wa Wa  Watanzania Ujerumani kwa ushirikiano na watanzania wanaoishi England na Spain kwa masikitiko makubwa sana tulipata msiba wa ndugu yetu mtanzania mwenzetu mcheza sarakasi Mohamed Idi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA TIGO FIESTA LATIKISA JIJI LA MWANZA JUMAMOSI HII

Ben Pol  na Maua Sama wakipagawisha  wakazi wa jiji la Mwanza katika Tamasha  la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia jumapili katika viwanja vya CCM Kirumba.Ommy Dimpoz akiburudisha wakazi wa jiji la Mwanza...

View Article


Mbarawa aagiza TANROAD kusimamia viwango, muda na gharama Daraja la Mlakakuwa

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa ameiagiza Wakala wa Barabara Nchini (TANROAD) kusimamia viwango, muda na gharama inayolingana na thamani ya mradi kwa Kampuni ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUSAJO SAJENT WA SERENA HOTELI NA NEEMA MATOWE WALIVYO MEREMETA

 Bwana Harusi Lusajo Sajent Mwangambaku (kushoto), akiwa katika pozi na mke wake Neema Stanley Matowe katika hafla yake ya ndoa iliyofanyika Ukumbi wa Mirando Sinza jijini Dar es Salaam juzi. Bwana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kingu aiombea maji jimbo la Singida Mashariki

Naibu waziri wa maji na Umwagiliaji Mhe Isack A. Kamwelwe akizungumza na watumishi wa Wilaya ya Ikungi mara baada ya kupita Ofisi za Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe Miraji Jumanne Mtaturu akielekea Manispaa ya...

View Article


East Africa International Arbitration Conference 2017

KIGALI, Rwanda, September 26, 2017: Kigali, the capital of Rwanda will this week host the 5th edition of the East Africa International Arbitration Conference (EAIAC) on the 28th and 29th September 2017...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NBS yapokea Tablets 500 kutoka Benki ya Dunia

 Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dk Albina Chuwa (kushoto) akizungumza jana jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kukabidhiwa tablets kutoka Benki ya Dunia.Kulia ni Mwakilishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CANADA, UNICEF, TIGO WAWEZESHA KASI UANDIKISHAJI VYETI VYA WATOTO CHINI YA...

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amewataka wananchi wa mikoa ya Lindi na Mtwara kutumia fursa waliyoipata ya usajili na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wa umri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE MUSSA AIPIGA JEKI TIMU YA AFRICAN SPORTS YA TANGA

h3 class="post-title entry-title" itemprop="name">MBUNGE MUSSA AIPIGA JEKI TIMU YA AFRICAN SPORTS YA TANGA.Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku kushoto akimkabidhi viatu Mweka Hazina...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASILIMIA 95 YA MIRADI YA KUBORESHA UMEME WA TANESCO DAR ES SALAAM IMEKAMILIKA

NA K-VIS BLOG/Khalfan SaidSHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limesema, tayari asilimia 95 ya uboreshaji miradi ya umeme katika jiji la Dar es Salaam, imekamilika.Meneja Mwandamizi wa TANESCO Kanda ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

kamishna jenerali wa uhamiaji akagua vichochoro vinavyotumiwa na wahamiaji...

Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji Dk. Anna P. Makakala wa kwanza kutoka kushoto  akikagua vichochoro  vinavyotumiwa na wahamiaji haramu kuingia nchini katika kijiji cha  Mugulika  Kata ya...

View Article

TASWA YALAANI MWANAHABARI KUSHAMBULIWA NA OBREY CHIRWA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI CHAMA Cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) na wahariri wa habari za michezo nchini, tumepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kushambuliwa kwa mwanahabari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGA CEMENT YATOA MIFUKO YA SARUJI 660 KWA AJILI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA...

TANGA CEMENT YATOA MIFUKO YA SARUJI 660 KWA AJILI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAJENGO KOROGWE NA MAABARA KATA YA MLALO LUSHOTO MKOANI TANGA Afisa Uhusiano wa Simba Cement Noor Mtanga kushoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamko la Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Siku ya wazee Duniani

-Tume ya Haki za Binadamu na Utawala BoraKitalu Na. 8, Mtaa wa LuthuliS.L.P 2643, DAR ES SALAAMSimu: +255 22 2135747/8; 2137125; 2135222Faksi: +255 22 2111281B/Pepe: chragg@chragg.go.tzTovuti:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA TIGO FIESTA LAFANA MKOANI TABORA

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akizungumza kuhusu usalama wa watu na mali zao ulivyoimalishwa  kwenye uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora wakati wa tamasha la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENGE WA UHURU WAZINDUA DUKA LA BIMA YA AFYA LA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

MWENGE WA UHURU WAZINDUA DUKA LA BIMA YA AFYA LA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA Sehemu ya muonekana kwa ndani duka la Bima ya Afya la Halmashauri ya Jiji la Tanga Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANACHAMA WA MTANDAO WA KIJANI KIBICHI TANZANIA WAKAGUA SHAMBA LA UWEKEZAJI...

 Mwenyekiti wa Bodi ya Mtandao wa Kijani Kibichi Tanzania (Mkikita) Mkakati wa  Dkt. Kissui Stephen  Kissui akielezea malengo ya ziara YA Wakulima wanachama wa mtandao huo walipowasili katika  eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANGULA AKUTANA NA KIONGOZI WA PALESTINA

Makamu Mwenyekiti wa CCM- Bara, Philip Mangula akizungumza na Naibu Namishina wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Chama Cha Ukombozi cha Palestina (FATAH) Dk. Uri Davis, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt. Kalemani akutana na Balozi wa Uganda Nchini

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt Medard Kalemani  (kushoto) akiwa na Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Richard Kabonera.Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt Medard Kalemani  tarehe 5 Oktoba,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASTAAFU WAIPONGEZA PSPF KWA KUPOKEA MALIPO YA PENSHENI YA MWEZI KWA WAKAT

Habari za kutwa, wadau pokeeni codes  Meneja wa Mpango wa Uchangiaji wa Hiari wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Bi. Mwanjaa Sembe, (wapili kushoto), akimkabidhi kijarida cha Mfuko huo chenye maelezo ya...

View Article
Browsing all 9045 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>