Quantcast
Channel: Lukwangule Entertainment
Browsing all 9035 articles
Browse latest View live

HII SIJAPATA KUONA.. LAKINI HATA SIJUI LUGHA HII HEBU JUA KAMA UNAJUA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI

Rais  John Magufuli akitangaza mabadiliko madogo katika baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 7, 2017. Wakimsikiliza ni Makamu wa Rais  Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHINDI WA PROMOSHENI YA COCA-COLA WAKABIDHIWA ZAWADI

Mshindi wa kitita cha 100,000/-Abdul Khalfan (kulia) akipokea fedha zake kutoka kwa Meneja wa Masoko na Mauzo wa Coca-Cola,Mwanza,Samwel Makenge Washindi wa promosheni ya Mchongo chini ya kizibo wakiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

hii inaweza kuwa barua ya wazi kwa watendaji serikali ya Tanzania

Balozi wa china zhou-yuxiao nchini ZambiaguysI got this from my e mails and i think it is worth readingLukwanguleMy thought of the dayHaving lived in China for more than 10 years. One thing I noticed...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMLAKA ZAZUZUNGUMZIA AJALI YA DALADALA KUZAMA ZIWA VICTORIA

Watu 12 wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya daladala waliyokuwa wakisafiria, kutumbukia katika fukwe za Ziwa Victoria katika eneo la Kingo Feri wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza.Ajali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IHEMBE MABINGWA KOMBE LA MBUNGE WA KARAGWE

Codes  Mbunge wa Karagwe Mheshimiwa Innocent Bashungwa akimpokea mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Ndani Mh. Mwigulu Nchemba Mgeni rasmi akiwasili katika uwanja wa changarawe ilipofanyika fainali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NISHATI YA UMEME NI KIUNGO MUHIMU KUCHOCHEA UWEKEZAJI WA VIWANDA”-DKT MWINUKA

NISHATI YA UMEME NI KIUNGO MUHIMU KUCHOCHEA UWEKEZAJI WA VIWANDA”-DKT MWINUKA NISHATI ya  umeme imeelezwa kuwa ni kiungo muhimu katika kuchochea uwekezaji wa viwanda hapa nchini ambao utasaidia kuinua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA BENKI YA NMB,MATAWI YA MAWENZI NA MBUYUNI MJINI MOSHI WAFANYA...

Wafanyakazi wa Benki ya NMB ,Matawi ya Mawenzi na Mbuyuni wakiwa katika Hospitali ya St,Joseph mjini Moshi kwa ajili ya zoezi la usafi pamoja na kutoa zawadi kwa wagonjwa waliolazwa katika hospitali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPB MBEYA WASHEREKEA WIKI YA HUDUMA KWA MTEJA

Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya TPB Mkoa wa Mbeya katika Picha ya pamoja katika sherehe za wiki ya huduma kwa mteja iliyofanyika katika Ofisi Kuu za TPB Mwanjelwa jijini Mbeya na kuhudhuriwa na wadau...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UONI HAFIFU HUCHANGIA MATOKEO MABAYA KWA WANAFUNZI DARASANI

HUONI HAFIFU HUCHANGIA MATOKEO MABAYA KWA WANAFUNZI DARASANI Mwalimu wa shule ya Msingi Nguvumali Jijini Tanga akichukua maelezo ya wanafunzi kabla ya kuanza zoezi la upimaji wa huduma ya macho wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA TANESCO SACCOS LTD WAFANYIKA JIJINI DAR

Mwenyekiti wa Bodi ya Chama cha Ushirika cha Akiba na Mikopo cha Wafanyakazi wa Shirika la Ugavi la Umeme (TANESCO),  TANESCO Saccos Ltd, Somoe Nguhwe akiwasilisha ripoti ya mwaka ya saccos hiyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASIMAMIZI WA MASHAMBA YA MKIKITA NCHINI WAPIGWA MSASA

 Daktari wa Mifugo na Kilimo, Dk.  Aloyce Kessy akitoa mafunzo ya jinsi ya kuandaa vitalu vya miche ya papai katika kikao cha mpango kazi kwa watalaamu wa kilimo wa Mtandao wa Kijani Kibichi Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JPM AHAMASISHA WATANZANIA KUMUENZI BABA WA TAIFA KWA KUWA WAZALENDO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amewataka watanzania wote kuishi maisha aliyoishi Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwa kuacha kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPDC YAUNGANA NA WATANZANIA KATIKA KUMBUKUMBU YA MIAKA 18 YA KIFO CHA BABA WA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LAPF YAFUNGUA OFISI YA KANDA YA MAGHARIBI MKOANI GEITA

Naibu waziri wa ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za MitaaJosephat Sinkamba Akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Geita Kushoto Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga ,Kulia Mkurugenzi Mkuu wa LAPF Bw Eliud...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA ILI YAWALETEE KIPATO ENDELEVU

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Profesa Faustine Kamuzola ameitaka jamii kujenga tabia ya kutunza mazingira katika maeneo yao kwa faida ya vizazi vya sasa na vizazi vijavyo.Katibu mkuu Profesa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT TIZEBA AFUKUZA KAZI WATATU, ATOA ONYO KWA WATATU

Waziri wa kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba akitafakari jambo mara baada ya kuzungumza na vyombo vya habari katika Ukumbi wa Lenny Mjini GeitaWaziri wa kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba (katikati) akisisitiza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wasanii watembelea duka la Tigo jijini Mbeya

Wasanii Jux na Mimi wakimkabidhi mteja wa Tigo, Tumaini Mwikanalo zawadi kwenye duka la Tigo jijini Mbeya.Mtoa huduma akipiga picha 'selfie' na wasanii Dogo Janja na Ben Pol.Ben Pol akiangalia simu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAFUNDI WA TANESCO WAFANIKIWA KUWASHA MASHINE MOJA KWA AJILI YA MTWARA LINDI

Mafundi wakiratibu zoezi la ukarabati wa mshineNA K-VIS BLOG, MTWARASHIRIKA la Umeme nchini (Tanesco), limefanikiwa kukarabati mashine namba 6 iliyokuwa imeharibika na kuiwasha kwa ajili ya kutoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKAO CHA BARAZA KUU UWT TAIFA CHAFANYIKA KWA KISHINDO MJINI DODOMA

 Katibu Mkuu wa Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) Amina Makilagi na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Idara ya Oganaizesheni Pereila Silima wakiwasili ukumbini tayari kwa...

View Article
Browsing all 9035 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>