Quantcast
Channel: Lukwangule Entertainment
Browsing all 9109 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUZO ya Golden Lion Tamasha la venice yaenda kwa Mswidi

TUZO ya Golden Lion katika tamasha la venice mwaka huu ambalo ni tamasha la 71, imeenda kwa Mtengeneza sinema (dairekta) wa Kiswidishi, Roy Andersson kupitia sinema yake ya A Pigeon Sat on a Branch...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mjue baba Haji, msanii wa filamu anayewekeza kwenye elimu

Anafikiria mbali zaidiBABA HAJI kama anavyojulikana mtaani kwa sasa au tuseme Baba Jamila amezaliwa Oktoba 11,1980 katika kijiji cha Sakura wilaya ya Pangani mkoani Tanga na kupewa jina la Haji Adam....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CFAO MOTORS WAWEZESHA WAPENZI WA FORMULA ONE DAR KUONA GEMU

Kukiwa na wanawake warembo katika magari yanayomeremeta, waliovikwa na nguli wa mavazi Ally Rhemtulla kwa ajili ya kupokea wageni kwenye hafla ya kuona mashindano ya magari ya Formula One iliyoandaliwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SKYLIGHT BAND YATIKISA JIJI LA DAR NYAMA CHOMA FESTIVAL

Sam Mapenzi, Joniko Flower na Hashim Donode wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band kwenye Nyama Choma Festival iliyofanyika miwshoni mwa juma katika viwanja vya michezo vya chuo kikuu cha Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GREEN WASTE PRO WAENDESHA KAMPENI USAFI KATIKATI YA JIJI

Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya usafi ya Green Waste Pro Ltd. wadau na wananchi wakijipanga tayari kuanza kampeni ya wiki tatu ya kusafisha maeneo mbalimbali ya katikati ya jiji iliyozinduliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano wa Rais Kikwete na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania mjini...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) wakati alipokutana nao kwenye Ikulu ndogo mjini Dodoma leo Septemba 08,2014.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Museveni kutua Dar Jumatano

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, anatarajiwa kuwasili nchini siku ya Jumatano asubuhi, tarehe 10 Septemba, 2014 kwa ziara ya kikazi ya siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Abiria wamtoa shoo dereva wa Mohamed Trans ya Mwanza

KELELE za abiria katika basi la kampuni ya Mohamed Trans lenye usajili namba T 879 ASU lililokuwa likitoka mjini Dodoma kuelekea Mwanza ziliwezesha kuokoa shari ambayo ingelitokea kutokana na basi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIR BUS ILIVYOTULIA KORONGONI BAADA YA KUUA WANNE NA KUJERUHI 35

Basi la Abiria la AIR BUS lenye namba za usajili T 106 AGB, likiwalimepinduka na kutumbukia korongoni kwenye daraja la Mkange , kati yaKijiji cha Berega na Kiegeya, wilaya ya Kilosa katika barabara kuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania ya nane duniani kwa kujiua and no body is doing anything

.Utafiti WHO waonesha wanaume wanaongoza .Msongo wa mawazo, umasikini vyatajwa.Msumbiji wa kwanza Afrika, Guyana kinara duniaWAKATI imethibitishwa kwamba katika kila sekunde 40 mtu mmoja huamua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEW UN RESIDENT COORDINATOR AND UNDP REPRESENTATIVE PRESENTS CREDENTIALS

The UN Resident Coordinator and UNDP Representative, Mr. Alvaro Rodriguez has officially presented his credentials to the Government. The Minister of Foreign Affairs and International Cooperation Mr....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kandoro akemea wanaohusisha CHF na Freemasons

 MKUU wa mkoa wa Mbeya Abbas KandoroMKUU wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro amekeme vikali watu wote wanaopotosha umuhimu wa mfuko wa Afya ya Jamii(CHF) wakisema ni njia ya kuwaingia wakazi wilayani hapa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete akagua utayari wa Tanzania kukabiliana na Ebola

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumanne, Septemba 9, 2014, amekagua huduma na vifaa, pamoja na maandalizi ya kukabiliana na ugonjwa hatari wa Ebola, ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makubaliano ya JK na ukawa ni haya hapa

.katiba ya zamani kufanyiwa marekebisho.Ni kuruhusu tume huru na mgombea binafsi.Ni makubaliano ya viongozi wa vyama vya siasaKATIBA inayotumika sasa ya mwaka 1977 itafanyiwa marekebisho muhimu kupisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Am about to retire and the Best Showroom am inn is CFAO

Niliingia katika duka na karakana ya CFAO, Barabara ya Nyerere Dar es salaamNilitembea kuona vipyaKulikuwa na vitu si vya kawaidanikashangaa kisha nikaenda kupewa maelezonikiwa na Meneja Masoko wa CFAO...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANCIS KUPUNGUZA MUDA NA KUIONGEZEA MAPATO SERIKALI

Mkurugenzi Mkazi wa ASASI isiyo ya kiserikali ya kupiga vita umaskini Actionaid Tanzania (AATZ), Yaekob Metena akifungua kongamano la siku tatu kwa asasi zisizo za kiserikali, wawakilishi kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tume ‘Operesheni Tokomeza’ kutembelea Kigoma, Katavi, Rukwa na Mbeya

Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza Ujangili imetangaza ratiba ya kwanza ya ziara yake katika Mikoa ya Kigoma, Katavi, Rukwa na Mbeya ili kukusanya taarifa na kupokea malalamiko...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DarPori ama hakika ni wa aina yake

Picha zote mbili zinaonesha Kijiji cha Lunyere (DarPori) ambacho kipo umbali wa zaidi ya kilometa 90 kutoka wilaya ya Nyasa, mkoani Ruvuma. Kijiji hiki kipo mpakani mwa Tanzania na Msumbiji wananchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LAUNCH OF CERTIFIED APPRENTICESHIP PROGRAM IN HOTEL OPERATION

Representatives from ILO, TUCTA, ATE and HAT in a group photo with the apprentices during the launch of the programme held in Dar es Salaam on 5TH AUGUST 2014.The launch was coupled with the signing of...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Basi la Super feo lachinja wawili

Basi lililopata ajali likiwa stendi kuu hekaheka ya kuokoa majeruhiWatu wakiangalia kama kuna mtu anatakiwa kutolewa ndani ya gariSuper feo ikiwa chali baada ya kuacha njia kugonga mti na...

View Article
Browsing all 9109 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>