Quantcast
Channel: Lukwangule Entertainment
Browsing all 9112 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti wa timu ya Ferrari aachia ngazi

BAADA ya kutumikia timu ya Ferrari kwa miaka 23 na kuiletea mafanikio makubwa mwenyekiti wa timu hiyo Luca Di Montezemolo anaachia ngazi katika uongozi wa timu hiyo inayoshiriki mbio za magari kasi za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBATIA ATOA TAMKO LA VIONGOZI WA UKAWA JUU YA BUNGE MAALUM LA KATIBA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sheria Ngowi amtembelea JK ikulu

Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi(kulia)akibadilishana mawazo na Rais Jakaya Kikwete IKULU jana Jijini Dar es Salaam alipomtembelea na kujadili mambo mbalimbaliRais Jakaya Kikwete...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jux aachia ‘Sisikii’ redioni

MWANAMUZIKI anayetamba zaidi  na vibao vya ‘Uzuri wako’ na ‘Nitasubiri’,  Juma Mussa ‘Jux’ ameachia rasmi wimbo wake mpya wa ‘Sisikii’ . Akizungumza Jux alisema wimbo huo wa ‘Sisikii’ ameutengeneza kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘Coke Studio Africa’ msimu wa pili wazinduliwa

Baadhi ya watendaji wakuu wa Coca-Cola pamoja na wageni waalikwa wakifuatilia kwa makini uzinduzi huo.Vanessa Mdee, Shaa, Joh Makini Diamond ‘live’ TBC1,TBC2MSIMU wa pili wa ‘Coke Studio Africa’...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashindano ya ngumi ya wavuvi Boxing Tournament 13/09/2014

Taarifa kwa vyombo vya habariShirikisho la ngumi Tanzania (BFT) limeaandaa mashindano ya ngumi ya wavuvi Boxing TOUNAMENT yatakayoanza kufanyika tarehe 13/09/2014 katika fukwe za Bagamoyo na baadaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK ataka msaada ESRF kuondoa umaskini kwenye uchumi unaokua kwa kasi kubwa

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Hoseana Lunogelo akisalimiana na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtu wa meno ya chuma aliyeigiza sinema za Bond afariki dunia

MUIGIZAJI Richard Kiel  ambaye alicheza kama Jaw katika sinema mbili za James Bond amekufa mjini california akiwa na umri wa miaka 74.Muigizaji huyoa mbaye alikuwa na urefu wa kuchusha na kuigiza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOVUTI MPYA YA HABARI ZA KIELIMU TANZANIA YAANZISHWA

Shule Zetu.or.Tz by moblog

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHABIKI WA SKYLIGHT BAND KUSHEHEREKEA BIRTHDAY YA MR. JACK’S HUKU WA...

Mpango mzima unahisika kwa usiku wa leo pale Thai Village.Vijana watanashati wa Skylight Band wakimsindikiza Sam Mapenzi (wa pili kuhsoto) kutoa burudani ya Live Music kwa mashabiki wa bendi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NFRA watakiwa kuhangaika kupata maghala zaidi kuhifadhi nafaka

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi akikagua shughuli za ufungashaji mahindi na Mtama kwenye magunia tayari kwa kuhifadhiwa kwenye maghala wakati alipotembelea kituo cha NFRA Kanda ya Dodoma.Mkuu...

View Article

mashindano ya ngumi ya taifa 2014 yasogezwa mbele

Taarifa kwa vyombo vya habariYah:- kusogezwa kwa tarehe ya mashindano ya ngumi ya taifa 2014Shirikisho la ngumi Tanzania (BFT) limesogeza tarehe ya kufanyika kwa mashindano ya ngumi ya Taifa na sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WATAKIWA KUTODANYWA KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Vyama vya Siasa vinavyounda TCD, Mhe. John Cheyo.MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Mwenyekiti wa TCD Mhe. John Cheyo amewataka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRESIDENT KIKWETE LAUNCHES World bank's report on Productive Jobs Necessary...

 President Jakaya Mrisho Kikwete greets Managing Director of the World Bank Ms Sri Mulyani Indrawati as he arrives  at the launch of the bank's report on Productive Jobs Necessary for Tanzania’s...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCT yahadharisha waandishi kujiingiza katika mifarakano

WAANDISHI wa habari Nchini wametakiwa kutojiingiza kwenye mifarakano na propaganda  hali inayoshusha heshima ya taaluma. Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Oscar Pistorius akutwa na hatia ya kuua kizembe

Reeva Steenkamp wakati wa uhai wake akiwa na Oscar Pistorius MWANARIADHA maarufu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amepatikana na hatia ya kumua mpenzi wake Reeva Steenkamp kwa uzembe.Jaji aliyeendesha...

View Article

MAFUNZO YA TIKETI ZA ELEKTRONIKI UWANJA WA TAIFA

 Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kesho Jumamosi (Septemba 13 mwaka huu) saa 4 asubuhi litaendesha mafunzo ya matumizi ya tiketi za elektroniki kwa wadau wa mpira wa miguu Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msiba Dodoma injinia Dkt Peter A. Mokiwa afariki dunia

 injinia Dkt Peter A. MokiwaKatibu mkuu wizara ya Maji , anasikitika kutangaza kifo cha Injinia Dkt. Peter A.Mokiwa, Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi  wa mazingira Mjini Dodoma (...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waathirika wa mabomu Mbagala fidia vituko vitupu waomba msaada wa JK

 yasome mwenyewe mabangoZaidi ya waathirika 1,000 wa milipuko ya  mabomu Mbagala  ya Aprili 2009 wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuingilia kati na kuwasaidia ili waweze kupata fidia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yale yale! mbio za farasi mmoja Chadema... ha ha ha ha staili hii inanipa shida

Hamkani hali si shwari ndani ya Chadema! Kansa Mohamed Mbaruku, Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Mkoa wa Tabora, amejitoa kuwania nafasi ya uenyekiti wa chama hicho taifa, hivyo kumfanya kwa mara...

View Article
Browsing all 9112 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>